Uneb uace kiswahili 2018
Koomson alikuwa amekaa juu ya kitanda kilichoko nyuma ya pazia.Hajijui kwahofu! Anaona
kwamba kukitamkwa neon moja tubasi uhai wake umefikia siku yake ya mwisho.Alikuwa amevva suti ya sufi
ambayo ni nyeusinyeusi, shati jeupe lililotakata weupe wake, na tai nyeusi. Juu ya pua yake kulikuwa navitone
vilivyoonyesha kama vitakavyokuwa vikubwa na kudondoka baada ya dakika chache tu. Lakini havikudondoka.
Kwa dakika Fulani hivi, …
Tukashabamukama Isaac
April 1, 2023
Uce past papers